Thursday, February 18, 2010

Wabunge wetu vibogoyo

Nani amewang'oa meno wabunge wetu? Na tukilinganisha wabunge bubu na vibogoyo, nani zaidi?

Sunday, February 07, 2010

Wamerekani wanataka nini Tanzania?

SIFA hizi wanazotumwagia ni za nini? Nadhani wana lao jambo.

Mbaya kwa wanaotaka kusomea Uingereza

Waingereza wanaendelea kutufungia mipaka kwa kuweka masharti magumu zaidi dhidi ya wanaotaka kusomea Uingereza. Ipate hapa.

Wednesday, February 03, 2010

Misri katika 10 bora za Fifa

Soma hapa upate pia zilizopanda na zilizoshuka Afrika.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'