Sunday, April 29, 2007

Boyz II Men wanaogopa kuitwa wasanii?


Soma Maswali yangu kwa serikali ya JK inayong'ang'ania kufuga na kutisha vyombo vya habari na wanahabari. Hii Hapa.

Thursday, April 12, 2007

Watawala wafe, taifa lifufuke

Hizi ndizo salaam zangu za Pasaka mwaka huu 2007 kwenu wasomaji. Zipo HAPA.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'